• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

Halmashauri kuu CCM Kongwa yaahidi kuendelea kuwa chachu ya maendeleo kwa usimamizi makini wa Ilani

Imewekwa: March 20th, 2025

Halmashauri kuu ya chama cha Mapinduzi CCM wilaya ya Kongwa imeahidi kuendelea kuwa sehemu ya jitihada zinazofanywa na Serikali ya awamu ya sita katika kuwezesha wananchi kujiletea maendeleo yao wenyewe kwa kujitegemea ili kuwezeshaTaifa kupiga hatua zaidi na kufikia dira ya Taifa ya maendeleo kufikia mwaka 2025 kwa kutekeleza ilani ya chama cha Mapinduzi.

Akisoma taarifa ya utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM 2020-2025 kwa kipindi cha Julai hadi Disemba 2024, Mkuu wa Wilaya ya Kongwa Mhe. Mayeka Simon Mayeka ameeleza kuwa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa inaendelea kutekeleza ilani ya Chama Cha Mapinduzi ya mwaka 2020 Kwa kupitia sera mbalimbali za Serikali zinazoongozwa na dira ya Taifa ya maendeleo, mkakati wa Taifa dhidi ya rushwa awamu ya tatu, malengo endelevu ya maendeleo na mikakati mingine ya kitaifa ya Mkoa na Wilaya kwa ujumla.

Mhe. Mayeka amebainisha kuwa kwa mwaka fedha 2024/2025, Halmashauri ilikisia kukusanya na kutumia jumla ya Tshs 5,305,000,000.00 kutoka vyanzo vyote vya mapato ya ndani lakini hadi kufikia Disemba 2024 makusanyo yamefikia 3,075,516,337.58 sawa na 61.97% na Kwa kipindi cha Julai- Disemba kiasi cha Tshs 744,674,317.06 cha mapato ya ndani kilitumika kutekeleza miradi mbalimbali ya Maendeleo.

Aidha Mhe. Mayeka ametaja mradi wa maji uliokamilika katika Kijiji cha Laikala B uliotumia Tshs 630,263,797 kuwa kwa sasa unahudumia wananchi wapatao 3,882. Mhe. Mayeka ameeleza kuwa baadhi ya miradi ya maji ambayo bado haijakamilika ni miradi inayopatikana katika vijiji vya Chilanjilizi, Chamkoroma, Ijaka, Mangh'weta, Mageseni, Matanga na Bwawani.

Akijibu hoja ya uhaba wa maji katika Mji mdogo wa Kongwa, meneja wa DUWASA wilaya ya Kongwa mhandisi Deodatus Mushumbuzi ameelezea changamoto hiyo kuwa imesababishwa na maji ya chumvi kupunguza kipenyo cha mabomba na kufanya maji yatoke kidogo na kuongeza kuwa nguvu ndogo ya umeme kusukuma maji inapelekea maji kutoka usiku wakati hakuna matumizi makubwa ya umeme na wakati mwingine hayatoki kabisa suala ambalo wanaendelea kulishughulikia.

Nae meneja wa TANESCO Wilaya ya Kongwa mhandisi Evodius Kagaruki amebainisha kuwa mpango wa Serikali ni kuhakikisha Vitongoji vyote vinapata umeme na kuongeza kuwa wananchi watambue kuwa changamoto ya kukatika kwa umeme katika Wilaya ya Kongwa inatokana na laini inayotumika kusafiri umbali mrefu sababu inahudumia wilaya nne ikiwemo ya Chamwino hivyo inapotokea hitiliafu katika eneo moja inapelekea umeme kukatika.

Pia Kaimu meneja wa TARURA wilaya ya Kongwa mhandisi Mashaka Ngeleja amesema 15% ya barabara katika Wilaya ya Kongwa zinapitika licha ya barabara nyingi kuharibika kutokana na mvua na kuongeza kuwa bajeti ya 2024/2025 imetengwa zaidi ya bilioni mbili kwaajili ya kutengenezea Barabara.

Akihitimisha mkutano Mhe Mayeka amewataka wananchi kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa homa ya nyani (MPOX) na kueleza kuwa kama kuna dalili zozote za ugonjwa huo basi wananchi wahimizwe kutoa taarifa mapema ili kukabiliana na ugonjwa huo.

Matangazo

  • Majina ya mipaka ya vijiji na vitongoji vilivyopo katika eneo la Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa. October 16, 2024
  • TANGAZO LA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024. October 16, 2024
  • Tangazo la nafasi za ajira za mkataba October 07, 2024
  • Tangazo la kufunguliwa kwa dirisha la utoaji mikopo kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu- Oktoba 1 2024 October 02, 2024
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • MGOGORO WA MPAKA CHIGWINGWILI - HOGORO KUTAFUTIWA UFUMBUZI.

    May 08, 2025
  • VIKUNDI VYASISITIZWA KUWA NA USHIRIKIANO MZURI NA VIONGOZI PAMOJA NA WATAALAM

    May 05, 2025
  • VIKUNDI 21 VYAKABIDHIWA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YA HALMASHAURI

    April 28, 2025
  • DC MAYEKA AKABIDHI MISAADA

    April 27, 2025
  • Tazama Yote

Video

zoezi la uandikishwaji daftari la Mpiga Kura kuanza 11-20 Oktoba, 2024
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Time huru ya Uchaguzi
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 713399349

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.